Uhodhisoko

"Napenda Ushindani Mdogo"—J. P. Morgan. Katuni hiyo ya Art Young inaripoti jibu la J. P. Morgan alipoulizwa na Pujo Committee kuhusu ushindani katika biashara.[1]

Uhodhisoko (kutokana na kitenzi "kuhodhi" na neno "soko"; kwa Kiingereza "monopoly", kutoka maneno mawili ya Kigiriki: monos, yaani "pekee", na polein, yaani "kuuza") ni hali ya uchumi ambapo watu wachache au kampuni chache, kama si moja tu, hudhibiti soko la bidhaa fulani kiasi kwamba washindani hawawezi kuliingilia. Hali hiyo inaathiri upangaji wa bei na mambo mengine yanayohusu bidhaa hiyo.

  1. Michael Burgan (2007). J. Pierpont Morgan: Industrialist and Financier. uk. 93. ISBN 9780756519872.

Uhodhisoko

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne