Umoja wa Afrika

Umoja wa Afrika
Wimbo : "Hebu wote kuungana na kusherehekea pamoja"
     Nchi wanachama      Nchi zilizosimamishwa
     Nchi wanachama      Nchi zilizosimamishwa

     Nchi wanachama      Nchi zilizosimamishwa
Miji mikuuAddis Ababa (serikali)
Johannesburg (bunge)
Mji mkubwaLagos
AinaShirika la kimataifa
 • Mwenyekiti
 • Mwenyekiti wa Tume
 • Rais wa Bunge
Ould Ghazouani
Moussa Faki
Fortune Z. Charumbira
Wanachama
Uanzishaji
 • Umoja wa Muungano wa Afrika
 • Umoja wa Afrika

25 Mei 1963

9 Julai 2002
Idadi ya watu
 • Kadirio la 20241 494 988 668
Tovuti rasmi:
https://au.int/sw

Umoja wa Afrika (UA) ni muunganiko wa nchi 55 za Afrika ulioanzishwa mnamo Julai 2002.

Umoja huu unaendeleza kazi za Umoja wa Muungano wa Afrika (kwa Kiingereza: Organisation of African Union - OAU) uliokuwepo 1963 hadi 2002.

Nia ya umoja huu ni kujenga muundo na mfumo wa kisiasa, wa kiuchumi, na wa kijamii ili kufikia wakati ambapo bara la Afrika litakuwa na bunge moja, benki moja, jeshi moja, raisi mmoja, sarafu moja, n.k.

Dhumuni kubwa la umoja huu ni kuunganisha nguvu za mataifa ya Afrika ili kuweza kutatua matatizo yanayokabili bara hili kama vile vita, njaa, Ukimwi, n.k.

  1. "Official Languages AU "Art. 11 AU" Protocol on amendments to the constitutive act of the African Union" (PDF). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2014-06-30. Iliwekwa mnamo 2014-09-06.

Umoja wa Afrika

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne