Vasco da Gama (1460 au 1469- 24 Desemba 1524) alikuwa baharia na mpelelezi kutoka Ureno.
Alikuwa Mzungu wa kwanza aliyefika Uhindi kwa kuzunguka Rasi ya Tumaini Jema kusini mwa Afrika.
Upande wa dini, alikuwa Mkristo wa Kanisa Katoliki, tena mwanachama wa Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko.