Wamachinga

Wamachinga ni kabila la watu wa Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Lindi, wilaya za Kilwa na Lindi.

Lugha yao ni Kimachinga.[1]

Inasadikiwa asili ya kabila hili ni kandokando ya ziwa Mkoe, hasa mto Mbwemkuru unapoingia baharini.[2]

  1. "Historia | Lindi Region". lindi.go.tz. Iliwekwa mnamo 2024-01-13.
  2. "Wamachinga ni kabila la watu wa Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Lindi, wilaya za Kilwa na Lindi". JamiiForums (kwa American English). 2021-10-25. Iliwekwa mnamo 2024-01-13.

Wamachinga

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne