Wasukuma

Kijiji kimojawapo cha Wasukuma mwanzoni mwa karne ya 20 (1906 - 1918).

Wasukuma ni kabila kubwa zaidi nchini Tanzania: linakadiriwa kufikia watu milioni 10, idadi inayowakilisha asilimia 16 ya wakazi wa nchi kwa ujumla.


Wasukuma

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne