Wilaya ya Arumeru

Mahali pa Arumeru (kijani) katika mkoa wa Arusha.

Wilaya ya Arumeru ilikuwa moja ya wilaya za Mkoa wa Arusha. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Arumeru ilihesabiwa kuwa 516,814 [1].

Tangu mwaka 2007 wilaya imegawiwa kuwa chini ya halmashauri za wilaya ya Arusha Vijijini na wilaya ya Meru.


Wilaya ya Arumeru

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne