Wilaya ya Babati

Mahali pa Babati (kijani cheusi) katika mkoa wa Manyara.

Wilaya ya Babati ni wilaya mojawapo kati ya 7 za Mkoa wa Manyara.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Babati ilihesabiwa kuwa 303,013 [1]

Mwaka 2012 wilaya hiyo ilimegwa ili kuunda Wilaya ya Babati Mjini (Babati Town Council). Katika sensa ya mwaka 2022 wazazi waliobaki upande wa vijijini walihesabiwa 375,200 [2].

  1. "Tanzania.go.tz/census/districts/babati". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2003-12-17. Iliwekwa mnamo 2003-12-17.
  2. https://www.nbs.go.tz

Wilaya ya Babati

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne