Wilaya ya Nyamagana

Wilaya za Jiji la Mwanza

Manisipaa ya Nyamagana ni wilaya mojawapo kati ya mbili zinazofanya kwa pamoja Jiji la Mwanza kwenye Mkoa wa Mwanza, nyingine ni manisipaa ya Ilemela.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 363,452 waishio humo. [1]

Misimbo ya posta katika wilaya hii inaanza kwa tarakimu 332.. .

  1. Sensa ya 2012, Mwanza Region - Nyamagana Municipal Council

Wilaya ya Nyamagana

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne