Wilaya ya Serengeti

Mahali pa Serengeti (kijani cheusi) katika mkoa wa Mara.

Wilaya ya Serengeti ni wilaya mojawapo kati ya 9 za Mkoa wa Mara yenye postikodi namba 31600.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 249,420 [1] na katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 340,349 [2].

Sehemu kubwa ya wilaya ni eneo la hifadhi ya Serengeti iliyo mashuhuri kote duniani.

Makao makuu ya wilaya yapo Mugumu mjini.

  1. Sensa ya 2012, Mara - Serengeti-District-Council
  2. https://www.nbs.go.tz

Wilaya ya Serengeti

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne