Wilaya ya Tarime

Mahali pa Tarime (kijani cheusi) katika Mkoa wa Mara (kijani) na Tanzania kwa jumla.
Tarime
Wilaya ya Tarime
Mahali pa Wilaya ya Tarime
Mahali pa Wilaya ya Tarime
Mahali pa Wilaya ya Tarime
Tarime is located in Tanzania
Tarime
Tarime

Mahali pa Wilaya ya Tarime

Majiranukta: 1°24′51″S 34°27′51″E / 1.4141°S 34.4642°E / -1.4141; 34.4642
Nchi Tanzania
Mkoa Mkoa wa Mara
Wilaya Tarime
Eneo
 - Jumla 1,371 km²
Idadi ya wakazi (Sensa ya 2022)
 - Wakazi kwa ujumla 404,848
EAT (UTC+3)
Tovuti:  https://tarimedc.go.tz

Wilaya ya Tarime ni wilaya mojawapo kati ya 9 za Mkoa wa Mara. Zamani ilijulikana kwa jina la "Wilaya ya Mara Kaskazini". Mwaka 2006 sehemu ya mashariki ya Tarime imekuwa wilaya mpya ya Rorya.

Tarime imepakana na Kenya (kaunti za Migori, Trans Mara na Kisii) upande wa kaskazini na mashariki. Hifadhi ya wanyama ya Masai Mara ya Kenya uko upande wa mashariki pia. Upande wa kusini umepakana na wilaya za Musoma mjini, Musoma vijijini na wilaya ya Serengeti. Upande wa magharibi iko wilaya mpya ya Rorya.

Makao makuu ya wilaya yapo mjini Tarime.

Misimbo ya posta katika wilaya hii inaanza kwa 314.


Wilaya ya Tarime

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne