Wilaya ya Tarime Mjini

Wilaya ya Tarime Mjini ni wilaya mojawapo kati ya 9 za Mkoa wa Mara.

Katika sensa ya mwaka 2022, wakazi walihesabiwa 133,043 [1].

Makao makuu ya wilaya yapo mjini Tarime.

  1. https://www.nbs.go.tz

Wilaya ya Tarime Mjini

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne