Willem Barents

Willem Barentsz

Willem Barents (au Barentsz, labda kutoka Barentzoon, mwana wa Barent; Terschelling, mnamo mwaka 1550 - 20 Juni 1597) alikuwa baharia na mpelelezi kutoka nchini Uholanzi.

Barents anakumbukwa kama mgunduzi wa visiwa vya Spitsbergern (Svalbard). Alilenga kukuta njia ya kufika katika Bahari Pasifiki kupitia bahari ya Aktiki.

Bahari ya Barents [1] na mji wa Barentsburg vilipokea jina lake.

  1. C.Michael Hogan and Steve Baum. 2010. Barents Sea. Eds. P.Saundry & C.Cleveland. Encyclopedia of Earth. National Council for Science and the Environment. Washington DC

Willem Barents

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne