Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.
Kilipo
Kilipo ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Uchina inayozungumzwa na Walisu. Mwaka wa 2007 idadi ya wasemaji wa Kilipo imehesabiwa kuwa watu 250,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kilipo iko katika kundi la Kingwi.