Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.
Kiselee
Kiselee ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Ghana inayozungumzwa na Waselee. Mwaka wa 2003 idadi ya wasemaji wa Kiselee imehesabiwa kuwa watu 11,300. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiselee iko katika kundi la Kikwa.