Vilema vikuu |
---|
Uzembe (kwa Kilatini acedĭa, kutoka neno la Kigiriki ἀκηδία, linaloundwa na ἀ- "utovu wa" -κηδία "juhudi") ni kukosa uwajibikaji na umakinifu katika kutenda, pamoja na kutojali hali ya mazingira[1] .
Katika maadili, unahesabiwa kati ya vilema vikuu (au mizizi ya dhambi) kwa kuwa unasababisha makosa mengine mengi kwa kumfanya mtu asitimize wajibu[2].
Wa kwanza kutambua shida hiyo walikuwa wamonaki.
{{cite web}}
: Unknown parameter |deadurl=
ignored (|url-status=
suggested) (help)CS1 maint: date auto-translated (link)