Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Wabondei

Wabondei ni kabila la watu wa Tanzania wanaoishi katika wilaya ya Muheza, Mkoa wa Tanga, karibu na Milima ya Usambara. Lugha yao ni Kibondei. Mwaka 1987 idadi ya Wabondei ilikadiriwa kuwa 80,000 [1].

  1. [1]

Previous Page Next Page






Μποντέι Greek Bondei people English Bondejoj EO Bondei French Bondei Italian Бондеї Ukrainian

Responsive image

Responsive image