Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.
Moshi (wingu)
Kwa matumizi mengine ya jina moshi tazama makala ya maana moshi
Moshi ya moto ya miti na matawi
[[Picha:
Nigeria
Moshi kwa lugha ya kawaida ni wingu linalotokea pale ambako moto inawaka. Ni mchanganyiko wa vipande vidogo vya mata mango, matone ya kiowevu -hasa maji- na gesi mbalimbali pamoja na hewa. Mchanganyiko wa aina hii huitwa pia erosoli.