Nyasa (ziwa)

Picha ya Ziwa Malawi mwaka 1967.
Mstari mwekundu unaonyesha mpaka usiokubaliwa kati ya Tanzania na Malawi. Tanzania inadai mstari mwekundu kuwa sahihi, lakini Malawi inadai ziwa lote hadi mwambao wa Tanzania. Mpaka kati ya Msumbiji na Malawi hauna matata.

Ziwa Nyasa (katika Malawi: Lake Malawi; katika Msumbiji: Niassa) ni kati ya maziwa makubwa ya Afrika ya Mashariki likiwa na nafasi ya tatu baada ya Viktoria Nyanza na Ziwa Tanganyika.


Nyasa (ziwa)

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne